Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu kufanyiwa ukarabati

Mkuu wa wilaya azungumzia barabara ya Magodani na Kilongoni hadi Vikindu inayopitia Cheta, Kazole kisha kuunganisha kwenye barabara kuu ya rami inayoenda mikoa ya kusini.
Barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu kufanyiwa ukarabati
Barabara ya Magodani, Cheta, Kazole, Kilongoni hadi Vikindu kufanyiwa ukarabati

Habari kamili isome kupitia
[HAPA] 


Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.

WAKAZI WA CHETA WANATAKA BARABARA, SHULE, UMEME, SOKO, HOSPITAL, MAJI, MSIKITI NA KANISA

Maendeleo huletwa na watu, watu wenyewe ndio sisi tukishirikiana na viongozi wetu ndipo tunaweza kupiga hatua chanya kuelekea kwenye kilele cha mafanikio.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa


Ila wazo ili naona linapingana na uhalisia wa maisha ya wananchi na wakazi wa eneo la Cheta pamoja na viunga vyake.

Ikiwa imepita miezi michache ndani ya mwaka huu wa 2017 tayari zimeonekana alama za vijiti zinazo ashiria njia za uwekaji wa nguzo za umeme.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa

Alama izo zimetokea eneo la Vikindu zimepita eneo la Kazole mjini, Kazole shule ya msingi iliyopo mpakani na eneo la Hamidu na nguzo ya mwisho imeishia Kazole Magenge 20 eneo la njia panda ya kwenda kwa Bakhresa ambapo ndipo mpakani mwa Kazole na Cheta.

Sasa kuanzia hapo mpakani mwa Cheta na Kazole kwenda hadi mpakani mwa Cheta na Magodani hakuna alama yoyote inayo onyesha kuwa nguzo za umeme zitapita ili kwenda mpaka Magodani.

Cheta ipo ndani ya Kazole uku ikipakana na Magodani ila viongozi wa kazole kwa ujumla wamekuwa wakipasahau sana Cheta.
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa


Baada ya uongozi wa Magodani kuchonga barabara yao kuanzia mpakani mwa Cheta kuelekea kwao ndipo Kazole wao walisimika alama za kuonyesha njia za nguzo za umeme zitakapo pita na wao wakaishia mpakani mwa Kazole na Cheta

Je Cheta inayoachwa katikati inaongozwa na akina nani?? Na je kama ina viongozi wake ivi wao wanatambulika upande wa Magodani au upande wa Kazole?? Wananchi wanataka kufahamu.

Kumbuka wakazi wote wa maeneo ya Mwasonga, Magodani, Cheta, Kazole na Vikindu wanategemea Barabara inayoanzia Vikindu hadi uko Mwasonga pamoja na maeneo mengine ambayo sikuyataja sasa je kama maendeleo na miundo mbinu vinawekwa mwanzoni mwa eneo na mwishoni bila kupaunganisha katikati je kunatengeneza kitugani jamani??
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa



Wananchi wa Cheta wanataka maendelea ya kweli kwa vitendo nasio maendeleo ya kuongea mdomoni na kuwadanganya kwenye mikutano ya vijiji inayofanyika.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara safi, Shule ya msingi na ya Sekondari, Hospital, Soko, Umeme, Visima vya Maji masafi, Viwanja vya Michezo, Sehemu za ibada (Miskiti/Makanisa), Maziko nk.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule ya msingi na ya Sekondari, Hospital, Soko, Umeme, Visima vya Maji masafi, Viwanja vya Michezo, Sehemu za ibada (Miskiti/Makanisa), Maziko nk.
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa



Kwa habari zaidi juu ya wakazi wa Cheta, Kazole na Magodani tazama apo chini.

CHANGAMOTO ZINAZOWAKUMBA WAKAZI WA KIJIJI CHA KAZOLE NA VITONGOJI VYAKE ZIKO HAPA
             [Bofya hapa kusoma]


ILE BARABARA INAYOANZIA VIKINDU GETINI KWENDA HADI MAGODANI NDIO HII
              [Bofya hapa kusoma]


KUTOKA PWANI: HIKI NDICHO KIJIJI CHA KAZOLE PAMOJA NA VITONGOJI VYAKE
              [Bofya hapa kusoma]


CHANZO CHA KUZOROTA KWA MAENDELEO KWENYE KIJIJI CHA KAZOLE NA VITONGOJI VYAKE IKI HAPA
           [Bofya hapa kusoma]


ENEO LA HEKARI 2 LINAUZWA, LIPO KWENYE KIJIJI CHA CHETA
                [Bofya hapa kusoma]

ENEO LA HEKARI 17 LINAUZWA / 17 HECTARES FOR SALE, GO HERE NOW
            [Bofya hapa kusoma]

Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.

KWA MAITAJI YA PS4 GAME, PS4 CD GAMES, PS4 CONTROL NK, BASI INGIA HAPA

KWA MAITAJI YA PS4 GAME, PS4 CD GAMES, PS4 CONTROL NK, BASI INGIA HAPA
Kwa maitaji ya PS4, Ps4 Cd Games pamoja na pard Control basi vitu vyote ivi vinapatikana kwetu na kwa bei ndogo sana ukilinganisha na sehemu zingine.

Tupo jengo LA village walk masaki jijini Dar es salaam na unaweza kuwasiliana nasi kupitia simu namba 0712 515 580
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.

RESEARCH PROGRAM CONSIGN WITH. Hiv/aids for new generation.

RESEARCH PROGRAM CONSIGN WITH.
 Hiv/aids for new generation.

Introduction
Young people of today are faced with numerous health and socio-economic challenges. Many of the health challenges will affect the length and quality of their adult lives.

A cross the globe, many young people are at risk from unprotected sex that can leads to sexually transmitted infections (STI). Data from 3003 – 2004 Tanzania HIV/AIDS indicator survey show that 3.5% of young people aged 15 – 24 years and 2% of young people aged 15 – 19 years have HIV positive.

According to same study, a lack of adequate knowledge about sexuality and how HIV is spread is one of the major contributing factors to the problems. Less than 40% of girls and only 43% of boys aged of 15 – 19 years have a compressive knowledge of HIV, and even among of 20 – 24 years old, just half have basic essential information about Hiv/Aids in Tanzania country.

WHAT IS THE DIFFERENCE BETWEEN HIV and AIDS?
HIV is the abbreviation of the term “Human Immunodeficiency Virus” HIV is the virus which cause AIDS. And this AIDS is stand for “Acquired Immune Deficiency Syndrome.

In Swahili the term UKIMWI stand for “Upungufu wa Kinga Mwilini” the name of the disease already tells us about the disease, namely that the immune system is weakened. The disease is called AIDS, once its symptoms become visible.

The difference between HIV and AIDS is that a person how is infected with HIV can still be healthy looking person. Although the virus can be found in his or her blood. They have not started yet to attack the white blood cells. On the other hands, the immune system of person with AIDS has lost its strength.

The body now suffers from different diseases called “opportunistic infection” because they take opportunity of the weak body defense.  People who suffer from AIDS might lose weight, frequently have fever or diarrhea or skin problem. However all these diseases are not a sign of an HIV infection. To be sure should consult a doctor.

WHAT IS THE IMMUNE SYSTEM?
The immune system is the system which helps the body to protect itself from diseases. The white blood cells in the human body play an important role in the immune system.

In the same way soldiers defend their country; these white blood cells protect the body against diseases. Once this white blood cell is attacked, the body lose its capacity to protect itself from sickness and disease.

HOW THE WAYS OF HIV/AIDS TRANSMITTED?
There is so many ways which cause spread or the transmitted of HIV/AIDS. The following are the few ways:

1.Acksdent, this it can spread of hiv/aids trough injuries for blood interaction from one injury person to another person.
RESEARCH PROGRAM CONSIGN WITH.  Hiv/aids for new generation. Tazamaa.blogspot.com

2. Sex, diseases it can transfer from one person to another through sensitivity organs if there is a source of conduct between two people of us.

3. Sharper tools, these affect so many of women because it use in saloon to set hair style and finger. But it affects men also because the machine which we are using to cut the hair or to trim our trimmer some time it can be the source if we are not used careful. (to follow the instructions).

4. Mother to child during delivery period. Child can get infection through service from her mother like milk which breast-feeding mothers, or for the time when mother her deriver children.

WHAT HAPPENS WHEN THE HUMAN IMMUNODEFICIENCY VIRUS (HIV) ENTERS IN THE BODY, AND WHERE IN THE BODY DOES IT GO?
This virus is located in white blood cells of human body fluids, especially in the blood, in seminal fluids, in the vaginal fluids and in the milk breast-feeding mothers. The white blood cells are the preferred place for HIV to live and reproduce. Once the viruses are inside the body, they settle and increase their numbers within the blood cells until these blood cells burst.

The viruses which are released continue to attack other white blood cells, the more viruses are released and the number of white cells decreases. As a result the immune systems of the person become weaker and weaker.

HOW LONG DOES IT TAKE UNTIL HIV CAN BE IDENTIFIED IN THE BLOOD?
After being infected with HIV it take approximately three mothers until the virus can be identified in the blood. It is useless to go for testing immediately after having had a risky contact. You should wait three mothers before going to a voluntary counseling and testing centre or VCT.
HIV is mainly spread through sexual contact.

If a person has many lovers, the probabilities of getting infection increase, because each lover is a potential source of infection, if they have sex without using a condom. In addition, treating other sexually transmitted disease too late contributes to the spread of HIV. If a person suffer from another sexually transmitted diseases, because of sores on the sexual organs. Finally, the abuse of drugs and excessive drinking can weaken a person capacity to make sound decisions about his or her sexual life. So friend be care.

IS HIV/AIDS ALSO TRANSIMITTED THROUGH ANAL OR ARAL SEX?
Yes! There is a big danger for getting infected with HIV when having oral or anal sex. The skin in the anus is very soft and the probability of getting small cuts during sexual intercourse is big, also because there are no body fluids to smoothen penetration, as for example in the vagina. It is very easy for the viruses to pass through these small cuts. Oral sex-licking the penis or vagina is also dangerous. If a woman has small cuts in his mouth or penis, they can infect each other. Peoples are advised to use condoms in order to prevent infection diseases from infected person.

Also any one can get hiv/aids through deep kissing. The probability of getting hiv/aids through deep kissing is very small. By exchanging saliva during kissing alone, it is not possible to transmit hiv/aids. However, if one of the lovers or both have cuts or sores in their mouth, the probability of getting infections diseases is very high. My advice to you is let us do safe sex at all

*****************************************
This research program report is created and prepared up to given out by only one person. Mutalemwa Onesmo Juvenary
                                         
   Sponsored by the German Government (German Development Policy),
       ©Tanzania German Programme to Support Health (TGPSH), 2007,
Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS)
gtzGerman Technical Cooperation.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.

Kutoa mimba akukufanyi kuendelea kuwa binti bali unabaki kuwa mama wa marehemu

Kutoa mimba akukufanyi kuendelea kuwa binti bali unabaki kuwa mama wa marehemu (i-save iyo).
Hii picha ni kwa hisani ya Rose Muhando kwenye wimbo wa Yesu ni wetu
kwa habari mbali mbali usisite kutembelea MUTALEMWA BLOG na MIKOA YETU
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top