Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NILICHOKIGUNDUA KATIKA UANDIKISHAJI WA VITAMBULISHO VYA KURA LEO

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Ukosefu wa elimu ya kutosha kwa wananchi ndio chanzo kikubwa cha kufanya zoezi la uandikishaji wa vitambulisho vya kupigia kura kuonekana gumu.
Watu wanaamka saa tisa usiku wanakuja vituoni kisha wanaandika majina kwenye daftari kisha wanarudi makwao kulala. Inapofika saa mbili na nusu asubuhi ofisi zikafunguliwa kundi la watu wanaokuwepo kituoni nitofauti na lile kundi la kwanza ambalo limeandika majina kisha wakarudi kulala.
Au mtu mwingine ajiandikisha kwenye list ya folen kisha anaondoka kwenye eneo la tukio, nafasi yake ikifika jina likaitwa hayupo baada ya nusu saa au lisaa anakuja analalamika akidai amelukwa jina lake. Sasa je kwa mambo kama hayo nani wakulaumiwa kati ya watendaji (watoa huduma vituoni) na raia?? Tupe maoni yako.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top