Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

UHUSIANO MBAYA WATAJWA KATI YA CRISTIANO RONALDO NA RAFAEL B

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
article-2703330-1FE75F6800000578-371_634x509
Zaidi ya saa 48 zimepita toka habari kuhusu uhusiano mbaya kati ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo na kocha wa Real Madrid Rafael Benitez zianze kuchukua headlines, na kuna ishu ambayo imekuwa ikiandikwa pia kwamba Ronaldo hana furaha Madrid na huenda akarejea Man United.
BARCELONA, SPAIN - OCTOBER 07:  Cristiano Ronaldo of Real Madrid celebrates scoring his sides opening goal during the la Liga match between FC Barcelona and Real Madrid at the Camp Nou stadium on October 7, 2012 in Barcelona, Spain.  (Photo by Jasper Juinen/Getty Images)
Hata hivyo Manchester United huenda ikaweka rekodi ya kumkurudisha Cristiano Ronaldo baada ya miaka sita toka aondoke klabuni hapo na kujiunga na Real Madrid ya Hispania kwa dau lililoweka rekodi ya dunia pound milioni 80.
Cristiano-Ronaldo-5
Licha ya kuwa Manchester United hadi sasa imewasajili Memphis Depay, Matteo Darmian, Bastian Schweinsteiger na Morgan Schneiderlin ziko stori pia kwamba wanataka kuimarisha Kikosi cha timu yao kwa kumrejesha Ronaldo.
Cristiano_Ronaldo_3103380b
Ronaldo alijiunga  Man United mwaka 2003 akitokea Sporting Lisbon ya Ureno kabla ya 2009 kuhamia Real Madrid ya Hispania kwa uhamisho ulioweka rekodi ya dunia na sasa habari za yeye kurejea Man United zimezidi kuenea baada ya kupishana kauli mazoezini na kocha Rafael Benitez wakiwa Australia.
Cristiano+Ronaldo+Manchester+United+v+West+CBbY4ruN-Chl
Nimekuwekea video hapo chini ya kilichotokea kati ya Ronaldo na Benitez na kusababisha kuwepo story nyingi kwamba hawako kwenye uhusiano mzuri kwa sasa.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top