Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WALEMAVU WAFUNGA BARABARA KARUME DAR

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Umati wa watu ukionekana katika eneo la Makutano ya Barabara ya Kawawa na Uhuru, Karume jijini Dar es salaam kutokana na kuwepo kwa baadhi ya walemavu wa viungo waliokaa katikati ya Barabara hizo kuitaka kutokana na kuvunjwa kwa mabanda yao ya biashara na watu wasiojulikana katika eneo la  la Karume, hali iliyopelekea njia hizo kufungwa kwa muda na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.

Akifafanua kuhusu tukio hilo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala,Raymond Mushi amesema kuwa suala la fidia watafanya uchunguzi ili kubaini waliopotelewa na mali zao,amesema walemavu watarudi katika maeneo hayo na waondoke eneo la barabara ili watu wengine waendelee na shughuli  zao.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top