Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WANAWAKE ROMBO WAKODI WANAUME TOKA KENYA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Wanawake waishio Rombo mkoani Kilimanjaro wametoa mpya ya mwaka baada yakukiri kuwa wanaume waishio rombo wakiwemo waume zao ni walevi kupindukia hadi kufikia hatua ya kutokufanya vyema na kushindwa  kabisha kuwaridhisha wake na wapenzi wao katika tendo la ndoa.

Hvyo kupelekea wanawake hao kuchukua wanaume toka nchi jirani ya kenya kwaajili ya mambo hayo yaliyoshindwa na waume zao.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi zinasema magari mengi ya abiria yatokayo maeneo mbali mbali nchini yamejaa wanaume kwa asilimia kubwa ambao wameamua kwenda rombo kwaajili yakazi hiyo baada ya kupata taarifa hizo.

Pia wengi wamelalamikia wanawake hao ambao wamefikia kuchukua wanaume kutoka nchi jirani badala yakuchukua watu ambao wapo hapa hapa nchini, nanukuu "hivi inakuwaje kuchukua bidhaa kutoka nje wakati zinapatikana hapa hapa nchini? " aliongea kijana mmoja aliyekuwa ndani ya basi.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top