Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MKURUGENZI WA MANISPAA YA ILALA APEWA WIKI 3, UNATAKA KUJUA ZA NINI? BOFYA HAPA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.

Naibu waziri ofisi ya rais,tawala za mikoa na serikali za mitaa Tamisemi,Suleiman Jafo,amempa wiki tatu mkurugenzi wa manispaa ya ilala,Isaya Mngurumi,kuhakikisha mfumo wa ukusanyaji wa mapato na uendeshaji wa soko la ilala unabadilika tofauti na sasa ambapo kumekuwepo na upotevu mkubwa wa mapato.

Mh.Jafo ametoa agizo hilo jijini Dar es Salaam,alipotembelea wafanyabiashara wa soko hilo na kusikiliza kero zinazowakabili lakini pia akamwahidi mkurugenzi huyo kuwa atarudi baada ya muda huo akute mfumo wa ukusanyaji wa kodi za kero kwa wafanyabiashara ambazo zinaingia kwenye mifuko ya wanjanja umesharekebishwa.


Baadhi ya wafanyabishara wa soko hilo, wamelalamikia ushuru ambao wamekuwa wakitozwa kunaingia kwenye mifuko ya watu binafsi huku wabeba mizigo nao wakitozwa ushuru ingawa hawana eneo la bishara na mama lishe wakalalamikia kufanya biashara kwenye vizimba ambavyo wanaomiliki wake wanawalipisha 80,000 hadi 100,000 kwa mwezi wakati wao wanailipa halmashauri sh. 9,000 kwa mwezi.

Akijibu sababu za ukusanyaji wa mapato holela katika soko hilo, mkurugenzi wa manispaa hiyo, Mngurumi,amesema wanaoshiriki kukusanya sh.400 ni wafanyabishara wenyewe ambao wamejiunga na vyama vyao vya ushirikia.

Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top