Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

BINTI WA KITANZANIA ATUWAKILISHA VYEMA NCHINI MAREKANI, ZAIDI BOFYA HAPA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.

Binti Getrude Clement mwenye umri wa miaka 16 kutoka Jijini Mwanza Tanzania amehutubia hafla maalum kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa, New York, Marekani kama mwakilishi mtandao wa wanahabari watoto wa Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani, UNICEF.

Aliwakilisha vijana kutoka ulimwenguni kote alipohutubia Baraza hilo.

Nimependa binti alivyohutubia kwa kujiamini, lakini ningefurahi zaidi mimi binafsi kama hapo mbele ya jina "Clement" kumgekuwa na jina jingine kama G.Clement Masanja, G.Clement Mahigi n.k

Wakati mwingine majina hutambulisha utaifa na utamaduni wetu. Hongera binti kwa kutuwakilisha vyema kama Taifa.

Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top