Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAKAZI WA CHETA WANATAKA BARABARA, SHULE, UMEME, SOKO, HOSPITAL, MAJI, MSIKITI NA KANISA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Maendeleo huletwa na watu, watu wenyewe ndio sisi tukishirikiana na viongozi wetu ndipo tunaweza kupiga hatua chanya kuelekea kwenye kilele cha mafanikio.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa


Ila wazo ili naona linapingana na uhalisia wa maisha ya wananchi na wakazi wa eneo la Cheta pamoja na viunga vyake.

Ikiwa imepita miezi michache ndani ya mwaka huu wa 2017 tayari zimeonekana alama za vijiti zinazo ashiria njia za uwekaji wa nguzo za umeme.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa

Alama izo zimetokea eneo la Vikindu zimepita eneo la Kazole mjini, Kazole shule ya msingi iliyopo mpakani na eneo la Hamidu na nguzo ya mwisho imeishia Kazole Magenge 20 eneo la njia panda ya kwenda kwa Bakhresa ambapo ndipo mpakani mwa Kazole na Cheta.

Sasa kuanzia hapo mpakani mwa Cheta na Kazole kwenda hadi mpakani mwa Cheta na Magodani hakuna alama yoyote inayo onyesha kuwa nguzo za umeme zitapita ili kwenda mpaka Magodani.

Cheta ipo ndani ya Kazole uku ikipakana na Magodani ila viongozi wa kazole kwa ujumla wamekuwa wakipasahau sana Cheta.
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa


Baada ya uongozi wa Magodani kuchonga barabara yao kuanzia mpakani mwa Cheta kuelekea kwao ndipo Kazole wao walisimika alama za kuonyesha njia za nguzo za umeme zitakapo pita na wao wakaishia mpakani mwa Kazole na Cheta

Je Cheta inayoachwa katikati inaongozwa na akina nani?? Na je kama ina viongozi wake ivi wao wanatambulika upande wa Magodani au upande wa Kazole?? Wananchi wanataka kufahamu.

Kumbuka wakazi wote wa maeneo ya Mwasonga, Magodani, Cheta, Kazole na Vikindu wanategemea Barabara inayoanzia Vikindu hadi uko Mwasonga pamoja na maeneo mengine ambayo sikuyataja sasa je kama maendeleo na miundo mbinu vinawekwa mwanzoni mwa eneo na mwishoni bila kupaunganisha katikati je kunatengeneza kitugani jamani??
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa



Wananchi wa Cheta wanataka maendelea ya kweli kwa vitendo nasio maendeleo ya kuongea mdomoni na kuwadanganya kwenye mikutano ya vijiji inayofanyika.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara safi, Shule ya msingi na ya Sekondari, Hospital, Soko, Umeme, Visima vya Maji masafi, Viwanja vya Michezo, Sehemu za ibada (Miskiti/Makanisa), Maziko nk.

Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule ya msingi na ya Sekondari, Hospital, Soko, Umeme, Visima vya Maji masafi, Viwanja vya Michezo, Sehemu za ibada (Miskiti/Makanisa), Maziko nk.
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa
Wakazi wa Cheta wanataka Barabara, Shule, Umeme, Soko, Hospital, Maji, Msikiti na Kanisa



Kwa habari zaidi juu ya wakazi wa Cheta, Kazole na Magodani tazama apo chini.

CHANGAMOTO ZINAZOWAKUMBA WAKAZI WA KIJIJI CHA KAZOLE NA VITONGOJI VYAKE ZIKO HAPA
             [Bofya hapa kusoma]


ILE BARABARA INAYOANZIA VIKINDU GETINI KWENDA HADI MAGODANI NDIO HII
              [Bofya hapa kusoma]


KUTOKA PWANI: HIKI NDICHO KIJIJI CHA KAZOLE PAMOJA NA VITONGOJI VYAKE
              [Bofya hapa kusoma]


CHANZO CHA KUZOROTA KWA MAENDELEO KWENYE KIJIJI CHA KAZOLE NA VITONGOJI VYAKE IKI HAPA
           [Bofya hapa kusoma]


ENEO LA HEKARI 2 LINAUZWA, LIPO KWENYE KIJIJI CHA CHETA
                [Bofya hapa kusoma]

ENEO LA HEKARI 17 LINAUZWA / 17 HECTARES FOR SALE, GO HERE NOW
            [Bofya hapa kusoma]

Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top