Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NI VYEMA KUKUMBUKA YALIYOPITA NYIE WAKAZI WA DAR

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Ikiwa ni wiki mbili zilizopita tangu kuisha kwa mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es salaam pamoja na maeneo mengine yaliyopo mikoa mbalimbali ya nchi hii ya Tanzania.

Kwaiyo basi leo napenda kuchukua nafasi hii kuwatahadhalisha watanzania wote kwa ujumla kwamba kama wewe umekuwa ni moja wa wahanga wa mafuriko yaliyotokana na mvua zilizonyesha miaka ya nyuma hadi leo
Basi nakuomba uchukue hatua madhubuti kwa kuama eneo ulilokuwa ukiishi tangu miaka iyo mpaka mwaka huu kwa kutafuta eneo safi ata kama liko nje ya mji rakini lisiwe na matatizo iyo ndiyo itakuwa suruisho kwako.

Kiukweli siojambojema kilakitu kuitupia rawama serikali maana inafika mda mwingine unaona kabisa chanzo cha matatizo yanasababishwa na sisi wananchi wenyewe. 
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top