Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

VICHEKESHO KATI YA POLICE JAMII NA MWENDESHA BODABODA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Ndugu zangu ukisikia mambo ya kuchekesha jua kabisa story hii ni mojawapo kati ya story zenye kuchekesha.

Juzi siku ya jumamosi nikiwa mitaa ya postampya jijini Dar es salaam  nilibahatika kukutana na police jamii au kwa jina lingine kamatakamata akiwa amemkamata mwenesha bodaboda.
Kitendo cha kukamatwa kijana huyo mwendesha pikipiki aliulizwa na police je unakibari cha kuingiza pikipiki yako mjini? Yule kijana akamjibu ndio kibali ninacho, ikabidi amuoneshe kibali chenyewe.

Baada ya kujiridhisha na majibu ya yule kijana mwendesha pikipiki ndipo polisi jamii huyo au kamatakamata alimuuliza kijana yule kwamba kwanini unaendesha pikipiki ukiwa umevaa marapa mjini?? Ikabidi watu wote tuliokuwa kwenye eneo la tukio tucheke kiukweli.

Kwaiyo kijana yule akawa amebaki na kosa la kuvaa marapa mjini wakati akiendesha pikipiki 
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top