Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

GARI LA ABIRIA KUFUNGULIA SAUTI KUBWA YA RADIO JE NISAWA?

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Leo katika kipindi cha kero yangu, tutaongelea juu ya magari ya abiria ambayo mda mwingi waga radio za magari hayo uwa zinafunguliwa kwa sauti kubwa kiasi kwamba abiria anapotaka kushuka waga inakuwa tabu hasa pale kondakta anapokuwa mbali na abiria halipo, jambo ambalo umlazimu abiria kugonga sehemu moja wapo ya gari husika.
Leo kumetokea kero yanamna hii kwenye gari aina ya Eicher, mali ya Jabir P. Ltd lenye namba za usajiri wa T 650 CLF linalotoa huduma kati ya  Mbagala rangi tatu to Kariakoo via Kilwa road.

Kitendo cha dreva kuweka sauti kubwa ya radio kwenye gari hilo abilia walipaza sauti wakimtaka dreva apunguze sauti au kama hawezi basi azime kabisa radio, dreva halikataa kufanya vile abiria walivyokuwa wakitaka na ukizingatia ilikuwa ni asubuhi.

Sasa naomba kuwauliza wanausalama je ni sahihi gari la abiria au gari binafsi kufungulia sauti kubwa wakati gari hilo likiwa linatembea barabarani?? Binafsi naona sio sahihi kabisa.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top