Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

BREAKING NEWS: DUKA LA PALACE MOBILE CENTRE LAVAMIWA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Habari za hivi punde nikwamba duka la Palace Mobile Centre lililopo Posta mpya jijini dar es salaam karibu na jengo la Haidary plaza limevamiwa na wezi usiku wa kuamkia leo.

Katika tukio hilo wezi wamevunja makofuri yote na kuingia ndani ya duka hilo na kuchukua simu zote pamoja na sanduku la pesa huku wakiacha makava ya simu pamoja na vitu vidogovidogo tu kwenye display dukani hapo.

Police wamefika kwenye eneo la tukio na kufanya uchunguzi wa kuweza kubaini chanzo cha tukio hilo, Endelea kuwa nasi ili tukujuze zaidi juu ya tukio hili la wezi kuvamia palace. 

Napenda kutoa pole sana kwa mmiriki pamoja na wafanya kazi wote juu tukio hilo na Mungu atawasaidia kuweza kuwabaini wezi waliohusika katika tukio hilo.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top