Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

DAWA MPYA YA KUZUIA SARATANI IMEPATIKANA

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Aina ya dawa mbili za kutibu saratani zinaweza kuzuia uvimbe wa saratani kwa watu karibu asilimia 60% wenye saratani iliyofikia kiwango cha juu kijulikanacho kama melanoma, ni kwa mujibu wa majaribio mapya kwa wagonjwa.

Majaribio ya kimataifa yaliyofanyika kwa wagonjwa 945 yalipata tiba kwa kutumia dawa aina ya ipilimumab na nivolumab zikizuia saratani kukua kwa karibu mwaka mmoja kwa wagonjwa asilimia 58%.
Madaktari wa Uingereza waliwasilisha data hizo kwa chama cha madaktari wa Marekani.
Taasisi ya Utafiti wa Saratani nchini Uingereza kiesema dawa hizo zinatoa tiba kali dhidi ya aina moja ya saratani hatari.

Melanoma, hatua ya hatari ya saratani ya ngozi, ni aina ya sita ya saratani ya kawaida nchini Uingereza. Inaua zaidi ya watu 2,000 kila mwaka nchini humo.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top