Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MH.JOSHUA NASARI ATOA CEMENT MIFUKO 300 YA UJENZI WA MFEREJI WA KIPILIPILI

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Zaidi ya wakazi elfu hamsini (50,000) wilayani Arumeru wapo hatarini kupatwa na balaa la njaa.

Bwana Abdi Msuya ambaye yeye ni mwenyekitu wa mfereji wa kipilipili amesema wanakumbwa na janga la njaa wilayani hapo kutokana na utumiaji mbaya wa maji yatokanayo na mfereji wa kipilipili, ambapo matumizi yamekuwa mengi mno kuliko kawaida ambapo kila sekta inategemea mfereji huko kufanya kazi yake ambapo amezitaja baadhi ya sekta hizo nipamoja na sekta ya Kilimo,  sekta ya mifugo nk.
Bwana Elishiria Kanuya ambaye ni mwenyekiti wa kijiji cha Kwaugoro amesema wameanza kukusanya michango kutoka kwa wananchi kwa ajiri ya kupata pesa za kurekebisha mfereji huo na kuuweka katika hali ya usafi na usalama uku akisema wamefikia asilimia60 za ukusaji wa michango hiyo wilayani hapo. 

Katika hatua hiyo ya uchangishaji wa pesa za ujenzi wa mfereji huo mbunge wa Arumeru mashariki Mh. Joshua Nasari alitoa mifuko 300 ya cement kwa ajiri ya kuchangia ujenzi wa mfereji huo wa kipilipili uku lengo likiwa ni kupata mifuko 800 ya cement kwenye kazi hiyo.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top