Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

USIKOSE KUFUATILIA MFULULIZO WA MICHUANO YA FIFA UNDER 20

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Habari za jumamosi ndugu mdau wetu, leo katika michezo na burudani tunapenda kukukumbusha kuwa usikose Kufuatilia mfululizo wa Michuano ya FIFA Under 20 kuanzia leo tarehe 30/05/2015.
Watakao fungua dimba kwenye mchezo wa leo sio wengine bali watakuwa ni  Portugal Vs Senegal mchezo utaanza Saa moja usiku.

Habari zote juu ya michuano hii zitakujia moja kwa moja kupitia hapa hapa kwenye Tazama Line pamoja na Mutalemwa Blog. Endelea kuwa nasi ili tukujuze mambo mengi na mapya zaidi. 
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top