Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Wakati dalili zikionesha wazi kuwa sasa waziri mkuu wa zamani wa
Tanzania na aliyekuwa mgombea wa urais aliyeenguliwa kwenye
kinyang'anyiro na Chama chake cha Mapinduzi (CCM).
Edward Lowassa, sasa
anahamia upinzani, mchora katuni wetu anaielezea safari hiyo katika
mchoro huu. Unasemaje?
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.
Share habari hii na wenzio wajue
Post a Comment