Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MHE.GASPER NGIDO AKIOMBA RIDHAA YA UBUNGE KWA WANA HAI MJINI

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Katika kampeni Leo nimezungukia matawi ya Msikini, Gezaulole, Mapambano, Mlima Shabaha, Elerai, Tindigani pamoja na Kingereka. 
 
Maeneo yote haya yanapatikana ndani ya wilsya ya Hai mjini.

Katika ziara zangu zote kwa siku ya leo nimezungumzia maendeleo ya ukanda wa tambarare kama barabara, Maji, Umeme, zahanati pamoja na shule. Kwa pamoja tutashinda.

Hapa ni eneo la Tindigani kata ya Kia mhe.Gasper Ngido akihutubia wananchi wa maeneo hayo na kuwaomba ridhaa ya kugombea ubunge kupitia ccm ndani ya Hai.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top