Ni waziri ambaye amekua akisifika na kusikika kwenye headlines
mbalimbali na rekodi zake za ufanyaji kazi kwa long time lakini kwa
kipindi chote hicho hajawahi kuwa na account yoyote kwenye mitandao ya
kijamii kama Facebook Twitter au Instagram ambayo ina nguvu kubwa sana kwenye ulimwenguni


Hizi hapa chini ni baadhi ya tweets zilizoandikwa kwenye page hii mpaka sasa ambapo mpaka July 29 2015, tweet yake ya mwisho iliandikwa July 26 2015.




Post a Comment