Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

WAFUNGWA WALAZIMISHWA KULISHWA CHAKULA KINGUVU

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Bunge la Israeli, limepitisha sheria ya kuwalisha kwa lazima wafungwa ambao wanashiriki mgomo na kususia kula.
 priii
Sheria hiyo ambayo ilikubaliwa na idadi kubwa ya wabunge, inawaruhusu mahakimu kuhakikisha kuwa wafungwa wanalishwa kwa lazima na pia kupata matibabu kwa lazima bila ya ruhusa ya mfungwa ili kunusuru maisha yao.

Raia wa Palestina ambao wanazuiliwa katika magereza ya Israeli wamekuwa wakisusia chakula kama njia yao ya kupinga kukamatwa kwao katika miaka michache iliyopita.
savee
Nchi hiyo inahofu kuwa wafungwa hao ambao wamekataa kula chakula huenda wakafa na kusababisha fujo magerezani.

Sheria hiyo mpya imelaaniwa na chama cha madaktari nchini Israeli, ambacho kinaamini kuwa kuwalisha wafungwa chakula kwa nguvu ni mbinu ya mateso na ni hatari kimatibabu.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top