Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MTOTO AELEZA JINSI MAMA YAKE ALIVYO UWAWA KIKATILI

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Ikiwa ni siku chache baada ya tukio la uvamizi katika kituo cha Stakishari,Dar es salaam kutokea, bado matukio ya kutumia silaha yameendelea kutokea katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

HekaHeka ya leo ni kuhusu tukio lililotokea maeneo ya Mbezi (Mpigi Majohe)…ambapo mama mmoja na mtoto wake wamepigwa risasi na mama huyo kufariki duniani huku mwanaye akijeruhiwa vibaya mgongoni.


Akisimulia tukio hilo mtoto huyo ambaye alikua akiendesha gari huku mama yake akiwa pembeni anasema alipigiwa na mama yake simu akachukue mbuzi Vingunguti na kumtaka ampitie Mbezi madukani ili waende wote nyumbani.

Anasema baada ya kumchukua mama yake wakati wanaelekea nyumbani gafla ilikuja pikipiki ikiwa na watu wawili kisha kuwasimamisha na kumtaka mama yake atoe pochi yake… lakini licha ya kuwapa walimpiga risasi mbili moja mguuni na nyingine tumboni na kupelekea kifo chake na yeye kupigwa risasi ya mgongoni.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top