Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

NDEGE YANUSULIKA KUANGUKA BAADA YA KUKUTANA NA UPEPO MKALI

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Ukiwa ndani ya ndege unaweza usijue kinachoendelea nje, unaweza kukuta japokuwa hii ndege imeyumba kiasi hiki bado waliopo ndani hawakupata picha kabisa nje kuna hali gan.
 KLM FLIGHT
Kutokana na upepo mkali uliokuwepo Schiphol Airport ndani ya Amsterdam Uholanzi July 25 2015, ikashuhudiwa ndege ya  KLM 777-300ER ikitua kwa shida na ukiangalia unaweza kusema wakati mwingine ndege ikikutana na balaa la namna hii alafu mkatoka salama ni bahati tu.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top