Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MWENYEKITI WA NCCR MAGEUZI ATEGUA MITEGO

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amesema kuwa zipo njama chafu za kumdhuru na kutengeneza ushahidi wa video na picha mnato na kuzisambaza. Mbatia alidai kuwa njama hizo alizozigundua zilipangwa katika mikakati tofauti na kuhakikisha zinafanikiwa
 
Mbinu ya kwanza iliyopangwa kutumika kuwa ni kumteka akiwa anaelekea nyumbani kwake au mahali popote. Mbinu ya pili alidai kuwa ni kuwapandikiza na kuwavisha vijana sare za Chama cha Chadema, ambao wangemvamia mahali popote, wamteke na kumjehuri ili ionekane kuwa ndani ya Ukawa kuna mgogoro.Ya tatu kwa mujibu wa Mbatia, ni kuwakusanya wajumbe wa chama chake na wanachama kwa pamoja ili waende kumfukuza kwenye Chama, kwa madai ya kutotekeleza majukumu yake ipasavyo.
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top