Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

MATOKEO YA NUSU FAINALI YA KOMBE LA KAGAME VIP KUHUSU AZAM FC?

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.
Nusu fainali ya michuano ya kombe la Kagame imechezwa July 31 kwa timu nne kushuka dimbani, huku timu mbili pekee zitakazoshinda ndio zitakazocheza mchezo wa fainali jumapili ya August 2 Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
AZAM
Azam FC imekuwa timu ya pili kutinga fainali baada ya kuifunga klabu ya KCCA ya Uganda kwa goli 1-0 bao pekee lililofungwa na Farid Mussa dakika ya 76. Hivyo Azam FC itacheza mchezo wa fainali na klabu ya Gor Mahia ya Kenya ambayo imeifunga Al Khartoum ya Sudan kwa goli 3-0.
Gor-Mahia-team-photo-vs-Congo-United

Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top