Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

FAIDA ZINAZOPATIKANA KWA KULA MAYAI

Maendeleo ya kweli na yenye tija kwa wengi yanaanzia kwako wewe binafsi, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya picha hii.

Mayai ni miongoni mwa chakula ambacho wengi hukitumia kama kibururdisho tu mara nyingi, lakini kimsingi mayai yanaumuhimu wake pia kwa afya hasa unapopata yale ya kienyeji.

Vifuatavyo ni virutubisho muhimu ambavyo hupatikana ndani ya mayai

Mayai ni chanzo kizuri cha protini ya kutosha, ambayo husaidia sana kujenga misuli, ngozi na homoni za mwilini.

Mayi yana vitamini D, ambayo humarisha afya ya mifupa pamoja na meno, lakini pia ina vitamin B 2., B 6 pamoja na vitamin B12.

Aidha, mayai yana madini ya chuma, copper pamoja na zinc ambayo kwa pamoja hushirikiana kuimarisha afya ya mwili.

Pia mayai yana vitamin A, na vitamin K

Zifuatazo ni aina ya virutubisho vinavyopatikana kwenye mayai na asilimi yake kwa ujumla.
Vitamin A: 6%
Folate: 5%
Vitamin B5: 7%
Vitamin B12: 9%
Vitamin B2: 15%
Phosphorus: 9%
Selenium: 22% 
Siku zote bahati yako iko mikononi mwako tu, ili kudhibitisha kuwa ni kweli bofya kwenye picha iliyopo hapa chini.
Never let a problem become an excuse. Put your Problem in Proper Perspective. What is the secret ingredient of tough people that enables them to succeed? Why do they survive the tough times when others are overcome by them? Why do they win when others lose? Why do they soar when others sink? The answer is very simple. It's all in how they perceive their problems.

Share habari hii na wenzio wajue

Post a Comment

CodeNirvana
Powered by Blogger.
© Copyright Tazama Line
Back To Top